Bani Israil 17:88 قل لين اجتمعت الانس والجن على ان ياتوا بمثل هاذا القران لا ياتون بمثله ولو كان بعضهم لبعض ظهيرا ٨٨
قُل
لَّئِنِ
ٱجۡتَمَعَتِ
ٱلۡإِنسُ
وَٱلۡجِنُّ
عَلَىٰٓ
أَن
يَأۡتُواْ
بِمِثۡلِ
هَٰذَا
ٱلۡقُرۡءَانِ
لَا
يَأۡتُونَ
بِمِثۡلِهِۦ
وَلَوۡ
كَانَ
بَعۡضُهُمۡ
لِبَعۡضٖ
ظَهِيرٗا
٨٨
Sema: Wangeli kusanyika watu na majini ili walete mfano wa hii Qur'ani basi hawaleti mfano wake, hata wakisaidiana wao kwa wao. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Sema, «Lau wataafikiana majini na binadamu kujaribu kuleta mfano wa hii Qur’ani yenye kuelemea, hawataweza kuileta, hata kama watashirikiana na kusaidiana kufanya hivyo.»
Sema, «Lau wataafikiana majini na binadamu kujaribu kuleta mfano wa hii Qur’ani yenye kuelemea, hawataweza kuileta, hata kama watashirikiana na kusaid…